Skip to Secondary Navigation Skip to Main Content

Current Domain

Languages

Katika sehemu hii

Ni utaratibu upi unaofuatwa katika kutafuta cheti cha kuzaliwa

Ni  utaratibu upi unaofuatwa katika kutafuta cheti  cha kuzaliwa?

  1. Unahitaji kuchukua fomu kutoka katika nyumba ya sheria na kuijaza.
  2. Unapaswa kuwa na nakala ya kutaarafu kutoka kwa hospitali uliyozaliawa ikiwa mama  alijifungulia hospitalini.
  3. Ikiwa wana zaidi ya miaka 18 wanapaswa kuwa na nakala ya kitambulisho cha kitaifa.
  4. Unahitajika kulipa kiasi cha Ksh 50 hadi 150 kugharamia mahitaji yaliyotajwa.
  5. Nakala za vitambulisho vya wazazi.
  6. Ikiwa wazazi wamefariki  unapaswa kutoa nakala ya cheti cha kifo.

0
No votes yet
Your rating: None